Mimi ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya mzee Antoy mwenyeji wa Marangu Kilimanjaro.Nilizaliwa miaka 20 iliyopita Marangu Samanga
namshukuru Mungu Baba,Mwana na Roho mtakatifu kwa uzima na neema nayoipata ya kuendelea kuishi hadi hivi sasa.
Wapili ni Mama yangu mzazi yeye ndo kila kitu kwangu kanilea na anaendelea kunilea vizuri maana kwake mimi kama motto siwezi kukua.Siwezi kurudisha hata robo ya fadhil zake kwangu ila ahadi yangu kwake nitampenda wakati wote maana kaweza kunilea kwa kadri mungu alivo muwezesha baada ya kifo cha marehemu Baba yangu mungu pia amlaze mahali pema.
3. Kaka yangu Essau Ngobei Yeye huyu Anamchango mkubwa pia katika maisha yangu nathubutu kusema huyu kwangu ndio SOMO WANGU (Rol model) yeye kwangu ni mwalimu,yeye kwangu ni boss kamwe siwezi nika msamsahu katika mafanikio yangu.
4. RECHAL MONGI huyu pia ni dada yangu yeye ni mshauri wangu namba moja katika maishay yangu amekuwa akinitia moyo napokata tama na kunisaidi napokuwa na shida nampenda sana nay eye pia analijua hilo
5.Kampuni nazofanyia kazi SWIVEL MARKETING NA VODA COM Naamani kufanya kazi na nyinyi na muda wote nimekuwa mwaminifu kwa majukumu yangu nayoyasimamia ili nisiangushe utendaji wa kampun i kwa ujumla nyinyipia mchango wenu nauthamini
6.Chuo cha JERUSALEM TRAINING COLLEGE Kilichopo Dodoma mimi nikiwa kama mkurugenzi mtendaji wa chuo hichi nashukuru na natambua saport ya Boss wangu kwangu katika kutimiza malengo yangu namalengo ya chuo pia
7.Mbonachi Matola,Jr Stories, Brina Baibey, Bakamaza sospeter, Anord Kasomo, Job mwalukasa,sumi Odilo,Aleleuya Maumbi,Aleni Maluli,Neema lizer,Angel Shayo,Abdul Senganya,Carolina Mohamed,Shukuru Gerald,Mud Gora,Method Nyunza,Erasto Marwa,Sindano Masanja,Elia Mlowezi,Daudi kipasiwinga,Regnald Daniel
8. Kwa wote ambao nime sahau kuwaandika haina maana kwamba umuhimu wenu si utambui nashukurun pia kwa saport yenu kwangu
Mimi ni MTANZANI NA NAJIVUNIA KUWA HIVO NA NDO MANA NIMEVAA MADE IN TANZANIA
Tudumishe amani one love
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni