NELSON MANDELA AMEFARIKI DUNIA!
Baada ya kuzushiwa kifo kwa muda mrefu
Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, amefariki leo akiwa na miaka 95.
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza maombolezo ya kitaifa ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia Ijumaa ya leo.
Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, amefariki leo akiwa na miaka 95.
Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza maombolezo ya kitaifa ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia Ijumaa ya leo.
Mungu amleze mahali panapo stahili marehemu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni