Habari Ya Asubuhi Waheshimiwa Marafiki,Ndugu na Jamaa,
Leo Mungu amenipa fursa ya kumtembelea Swahiba wangu Sheikh Issah Ponda
gerezani Segerea pamoja na 'washkaji' wengine wengi niliojenga nao
urafiki na undugu nilipokuwa gerezani.
Hivi sasa niko njiani kuelekea Segerea Gerezani.
Pamoja na kuwaona,nitawahabarisha yanayojiri mitaani,nitawapa moyo na kuwafariji na nimebebea 'mazagazaga' kibao.
Nawatakia siku njema.
Leo Mungu amenipa fursa ya kumtembelea Swahiba wangu Sheikh Issah Ponda gerezani Segerea pamoja na 'washkaji' wengine wengi niliojenga nao urafiki na undugu nilipokuwa gerezani.
Hivi sasa niko njiani kuelekea Segerea Gerezani.
Pamoja na kuwaona,nitawahabarisha yanayojiri mitaani,nitawapa moyo na kuwafariji na nimebebea 'mazagazaga' kibao.
Nawatakia siku njema.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni