Jumatano, 4 Desemba 2013

Madudu ya Tanzania kwa rushwa inashika nafasi ya pili Afrika


Tanzania imeendelea kufanya vibaya katika ripoti ya viwango vya rushwa duniani kwa mwaka 2013 , imekamata nafasi ya 111 kati ya nchi 177 duniani, huku katika Afrika Mashariki imekamata nafasi ya pili baada ya Rwanda kwa vitendo vya rushwa

Hakuna maoni: