Alhamisi, 12 Desemba 2013

Rais JAKAYA KIKWETE Ang'ara South Africa

South Africa kuonyesha kuwa inatambua ubora wa Rais wetu Mheshimiwa J.K kikwate imempa nafasi naheshima ya pekee sana
Viongozi wengi wanaheshimika ndani na nje ya Ulaya,lakini kitendo cha Wana Afrika Kusini kukumpa heshima  ya kutambulisha ugeni mzito basi ni FAHARI NA HESHIMA KUBWA KWA WATANZANIA NA HUO NDIO URAFIKI MWEMA KWAO NA SISI.

AHSANTE NDUGU ZETU WANA AFRIKA KUSINI,AHSANTE JAKAYA KIKWETE.

Hakuna maoni: