Jumapili, 8 Desemba 2013

Ukistaajabu ya Zitto utayaona ya Lowasa

Lowassa Ngoyai Edward Kaingia Choo cha Kike baada ya kwenda Nigeria akaambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania,
Kwasasa katika Africa watu wanatia mashaka makubwa ya Utabili wake kwani kila ambacho anasema kinakuwa tofauti baada ya kutabili kuwa Kuna Raisi wa East Africa atatekwa na Al-Shabab na amna kilichoweza kutokea na aliweza kutabili mambo mbalimbali kwasasa nchini nigeria yanaenda tofauti,
Na Lowassa kaingia katika Choo cha kike baada ya kuambia agawe pesa tu katika majumba ya ibada atapata Urais kumbe utabili ni feki baada ya kuona kuwa Lowassa kwasasa anapingwa sana ndani ya chama chake na mpaka upinzani kwa hasara ambayo ameingizia taifa letu na kamwe amwezi pata urais ndoto za alinacha,

TBjoshua amekuwa msanii kuwalia pesa mafisadi wakubwa Duniani. — in Kibondo, Kigoma, Tanzania.
Like ·

Hakuna maoni: