Ijumaa, 6 Desemba 2013

Zitto Kabwe akiri Kulia kwa hili

Baada ya taarifa za kifo cha mzee Mandela Mheshimiwa Zitto Kabwe Amebadilisha Profile picha yake kwenye Facebook na kuweka ya Mandela nikisha kuweka picha hiyo hapo chini  nakusema
Machozi yananitoka....pumzika kwa amani Tata Madiba ‪#‎Madiba‬

Hakuna maoni: