Ijumaa, 31 Januari 2014

Morogoro kuamua kati ya Ofa ya usafiri na Maisha Bora kutoka kwa Wabunge wao

Selemani Msindi "Afande Sele // The king of Rymes" hapa akiwa jukwaani akiwapa neno wakazi wa MOROGORO katika mwendelezo wa mikutano ya CHADEMA chini ya Oparesheni Pamoja Daima (OPD),,, Wana Morogoro wao wameapa kumtema Aziz Abood ifikapo 2015,, Wameenda mbali zaid na kumsihi Abood Aziz aachie ngazi kabla ya 2015,, baadhi yao wamemshauri achukue kilicho chake na arudi kwao Uarabuni akalime Tende na Haluwa !! Km itashindikana basi aende Turiani kulima Miwa..... Habari za chini ya kapeti zinasema kuwa Ndugu Abood sasa Presha juu Aidha yeye aapa kuja na mbinu za kizembe ili kumpoteza Afande Sele,,, Asema atapunguza nauli kwenye mabasi yake Yafanyayo roote za MORO to DAR kutoka Tsh 7000 mpaka 2500 kwa wakazi wa MOROGORO tu,,,, Teh teh teh........

Hakuna maoni: