Ijumaa, 28 Februari 2014

Madudu (5) matano ya Wizara ya Elimu yaliyo weka historia Duniani mwaka 2013/2014



      Madudu (5) matano  ya  Wizara ya Elimu yaliyo weka historia Duniani mwaka 2013/2014
   Mwaka 2013 na 2014  umekuwa ni mwaka wenye maajabu ya madudu ambayo hayajawahi kutokea katika sekta ya elimu Tanzania.Maajabu hayo nikama  yafuatayo
1.MATOKEO
Kutangaza matokeo ya kidato channe ya mwaka 2013/2014 kwa viwango vipya vya madaraja ya ufaulu yaliyo pingwa sana na watanzania na Wabunge bungeni  Kabla yakutumika kwa kuwa  viwango hivyo ambavyo havileti maendeleo katika sekta ya elimu zaidi ya kudhorotesha sekta ya elimu Tanzania.
2.Ajira
27/2/2014 Wizara kupitia gazeti la Tanzania Daima ilitangaza kuwa imewaajiri walimu 360000 bila kutoa majina ya walimu hao na ambao wameajiriwa kitu ambacho hakikuwahi kutokea tangu Wizara hiyo ilipoanzishwa.
3.Mazoezi ya Vitendo
Mazoezi ya vitendo kwa walimu Tarajari waliopo vyuoni haijawahi kutokea wakachelewa kwenda kwenye mazoezi hayo ya vitendo kama ilivo sasa mwezi wapili unaisha bado tu wapo vyuoni bila sababu za maana.
4.Kusoma nakuandika
 Haijawahi kusikika Duniani kote kuwa kuna wanafunzi wanaomaliza shule ya msingi na kufanya mitihani kisha kufaulukuendelea  na wanapoenda shule ya upili yaani secondari washindwe kusoma na kuandika lakini kwa Tanzania hilo lime tokea na limesha zoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida tu.
5.Tovuti
Mwisho kabisa ukiingia kwenye tovuti yao ya wizara ya Elimu kunasehemu ya kutoa maoni ya Yule anaetazama tovuti hiyo watu wengi wamekuwa wakitoa maoni kuwa mfumo ni mbovu kwa zaidi ya  48% Kitu ambacho ni ajabu kutokea kwa nchi nyingine pia tovuti hiyo haivutii kila siku vitu nivilevile.
             INCHI YENYE UTAWALA BORA HAIWEZI KUWA NA ELIMU MBOVU

Ijumaa, 21 Februari 2014

Matokeo ya kidato cha nne 2013 Zero bado ni Tatizo sugu

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013

Wanafunzi 74,324 sawa na asilimia 21.09 wamefaulu katika madaraja ya I -III.

Jumla ya watahiniwa 427,679 waliandikishwa kufanya mtihani ila waliofanikiwa kufanya mtihani ni watahiniwa 404,083.
Jumla ya watahiniwa laki 235,227 sawa na asilimia 58.25 ya waliofanya mtihani wamefaulu.
Wasichana waliofaulu ni laki 106,792 na wavulana waliofaulu ni laki 128,435. 
Wanafunzi 74,324 sawa na asilimia 21.09 wamefaulu katika madaraja ya I -III.
Wavulana waliopata daraja la kwanza (division one) ni 5,030 na wasichana ni 2,549.
Wavulana waliopata daraja la tatu (Division 3) ni 27,904 na wasichana ni 17,113. 
Jumla ya wanafunzi waliopata daraja la 4 (division 4) ni laki 126,828, wasichana wakiwa 62,841 na wavulana 63,987.
Jumla ya wanafunzi laki 151,187 wamepata ’0′ (division ziro) . Wasichana ni 72,237 na wavulana ni 78,950. 
Shule 10 zilizoongoza ni St.Francis Girls, Marian Boys, Feza Girls, Precious Blood, Canossa, Marian Girls, Abbey
Shule kumi zilizoongoza: Anwarite Girls, Rosmini, na DonBosco Seminary
Zilizofanya vibaya: Singisa, Hurui, Barabarani, Nandanga, Vihokoli, Chongoleani, Likawage, Gwandi, Rungwa, Uchindile

ACSEE 2013 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES

KWA KUANGALIA MATOKEO BOFYA HAPA 
Chanzo: kingo tanzania

Jumapili, 16 Februari 2014

Sauti ya Vijana BUSOKELO watoa zawadi kwa washindi wao

SAUTI YA VIJANA BUSOKELO WAFANYA YAO!!!!! Mnamo tarehe 2/2/2014 walitoa tangazo katika ukurasa wa sauti ya vijana busokelo Facebook kuwa...

Jumanne, 11 Februari 2014

Mwanachuo wa UDOM anae komaa kubalance Kitabu na Maisha

 Jina lake halisi ni Bakamaza Erik Sospeter jina la kazi  ni Erick Backamaza nikijana mwenye uthubutu, Ni muuandaji wa Video ukanda wa Dod...

Mwanachuo wa UDOM anae komaa kubalance Kitabu na Maisha

Korumba Mtanzania: Mishezo na Burudani: Jina lake halisi ni Bakamaza Erik Sospeter jina la kazi  ni Erick Backamaza nikijana mwenye uthubutu, Ni muuandaji wa Video ukanda wa Dod...

Jumamosi, 8 Februari 2014

Kama nikijana wa Dodoma Hii inakuhusu ni kutoka kwa super nyota 2013

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJNKU14-tB5R_5k9C7SNpA3Rw5Vc5_kRVItM2dyvrXdzMaRaxEsh54SxUQttN0smr2NvKhwZfrbHGIyMVRekajCvq6lREjbggEZ45iYl5oeKUOFVO4MUdCh-tC6veG6Lhk_5LIlHRTfT8U/s320/jacok.jpg 
 Nibaada ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la WAMENUNA  msanii bora kabisa kwa upande wa kanda yakati  nchini Tanzania Jacobeat  ameanza maandalizi ya video ya wimbo huo  akiongea na ma mimi msanii huyo amesema yafuatayo
ths tym nataka wote tutimize ndoto Zetu vijana wa dodoma hii ni kwa wanaume kwa wanawake wenye gud lukin,models ,photogenics n. k nicheki nikwambie tunafanya nini kuisimamisha dodoma 0658074341