Jumamosi, 8 Februari 2014

Kama nikijana wa Dodoma Hii inakuhusu ni kutoka kwa super nyota 2013

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJNKU14-tB5R_5k9C7SNpA3Rw5Vc5_kRVItM2dyvrXdzMaRaxEsh54SxUQttN0smr2NvKhwZfrbHGIyMVRekajCvq6lREjbggEZ45iYl5oeKUOFVO4MUdCh-tC6veG6Lhk_5LIlHRTfT8U/s320/jacok.jpg 
 Nibaada ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la WAMENUNA  msanii bora kabisa kwa upande wa kanda yakati  nchini Tanzania Jacobeat  ameanza maandalizi ya video ya wimbo huo  akiongea na ma mimi msanii huyo amesema yafuatayo
ths tym nataka wote tutimize ndoto Zetu vijana wa dodoma hii ni kwa wanaume kwa wanawake wenye gud lukin,models ,photogenics n. k nicheki nikwambie tunafanya nini kuisimamisha dodoma 0658074341

Hakuna maoni: