Alhamisi, 5 Desemba 2013

Maajabu Kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda juu ya Mshahara wake

‪#‎BUNGENI‬: Waziri mkuu Mizengo Pinda ameweka wazi mshahara wake na kusema kuwa analipwa mshahara wa milioni 6, mshahara ambao ni pamoja na posho ya mke wake.

Pia amesema kuwa mshahara wake hauna tofauti kubwa sana na mshahara wa Rais, kwa kuwa hautofautiani hata milioni 1, na ameongeza kuwa yeye ni mkopaji mzuri sana wa mikopo toka benki

  • ikiwa. kama mbunge wa kawaida anapata mil. .12, iweje rais na wazar mkuu apate mil.6?  
  • huo ndo mwanzo wa utata

Hakuna maoni: